1 Ni siku tukufu, Haleluya, amina,
Ya kupumzika, Haleluya, amina,
Tuache shughuli, Tumwabudu Mungu,
Bwana wa mbinguni, Haleluya, amina.
2 Ni siku tukufu, Haleluya, amina,
Tukufu kabisa, Haleluya, amina,
Njoni ndugu zangu, Tumwabudu Mungu,
Kwa roho na kweli, Haleluya, amina.
3 Ni siku tukufu, Haleluya, amina,
Ya furaha mno, Haleluya, amina
Yesu kafufuka, Na sasa y hai,
Anatuombea, Haleluya, amina.
4 Ni siku tukufu, Haleluya, amina,
Ndiyo maarufu, Haleluya, amina,
Tunaye Mwokozi, Agukoaye,
Sasa na milele, Haleluya, amina.
5 Ni siku tukufu, Haleluya, amina,
Siku ya neema, Haleluya, amina
Tangazeni Neno,La Bwana Mwokozi,
Msifuni daima, Haleluya, amina
Source: Nyimbo Za Imani Yetu #7